Jarida la Mapishi

Achari ya maembe na tangawizi

Achari ya maembe na tangawizi | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    -
  • Kupika
    -
  • Walaji
    1

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, majani ya giligilani, limao, chumvi, tangawizi, maembe, pamoja na pilipili manga, kisha saga hadi utakaopo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.

    Step2

    Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga, kisha uhifadhi kwenye chombo chenye mfuniko na kutumia kidogo kidogo kwenye chakula cha aina yoyote ile.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.