Jarida la Mapishi

Achari ya dengu na karanga

Achari ya dengu na karanga | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    -
  • Kupika
    -
  • Walaji
    1

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga dengu pamoja na karanga, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini. Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga na uweke pembeni kwenye bakuli safi.

    Step2

    Weka kwenye hiyo hiyo mashine ya kusaga, majani ya giligilani pamoja na limao, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vyema na kuwa laini.

    Step3

    Weka mchanganyiko wa dengu ulio usaga mwanzoni, sukari, pamoja na chumvi, kisha endelea kusaga hadi utakapo ona mchanganyiko huo wote umechanganyika vizuri.

    Step4

    Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga, kisha uhifadhi kwenye chombo chenye mfuniko na kutumia kidogo kidogo kwenye chakula cha aina yoyote ile.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.