-
Maandalizi-
-
Kupika-
-
Walaji1
Ingredients
Directions
Step1
Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga dengu pamoja na karanga, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini. Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga na uweke pembeni kwenye bakuli safi.
Step2
Weka kwenye hiyo hiyo mashine ya kusaga, majani ya giligilani pamoja na limao, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vyema na kuwa laini.
Step3
Weka mchanganyiko wa dengu ulio usaga mwanzoni, sukari, pamoja na chumvi, kisha endelea kusaga hadi utakapo ona mchanganyiko huo wote umechanganyika vizuri.
Step4
Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga, kisha uhifadhi kwenye chombo chenye mfuniko na kutumia kidogo kidogo kwenye chakula cha aina yoyote ile.
Leave a Review