![Achari ya karanga na vitunguu swaumu | Jarida la Mapishi](https://www.jaridalamapishi.co.tz/wp-content/uploads/2023/11/achari_ya_karanga_na_vitunguu_swaumu.jpg)
-
Maandalizi-
-
Kupika-
-
Walaji1
Ingredients
Directions
Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka karanga kwenye hiyo mashine ya kusaga, kisha saga hadi utakapo ona karanga hizo zimesagika vizuri na kuwa laini.
Weka nazi, vitunguu swaumu, Tamarind Paste, chumvi, pamoja na ¼ kikombe cha maji, kisha endelea kusaga hadi utakapo ona mchanganyiko huo wote umesagika vyema na kuwa laini. Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga na uweke kwenye kontena.
Chukua sufuria ndogo lenye mafuta ya kupikia na uliweke kwenye jiko lenye moto wa wastani, kisha acha mafuta yapate moto. Weka kwenye hilo sufuria, mbegu za hadadali pamoja na majani ya mvuje, kisha kaanga huku ukikoroga mara kwa mara kwa sekunde kadhaa.
Chukua sufuria ndogo lenye mafuta ya kupikia na uliweke kwenye jiko lenye moto wa wastani, kisha acha mafuta yapate moto. Weka kwenye hilo sufuria, mbegu za hadadali pamoja na majani ya mvuje, kisha kaanga huku ukikoroga mara kwa mara kwa sekunde kadhaa.
Epua mchanganyiko huo na umimine kwenye kontena lenye achari, kisha changanya vizuri tayari kwa kutumia kwenye chakula cha aina yoyote ile.
Leave a Review