Jarida la Mapishi

Smoothie ya chungwa, embe na ndizi

Smoothie ya chungwa, embe na ndizi | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    Dakika 10
  • Kupika
    -
  • Walaji
    4

Smoothie ya chungwa, embe na ndizi, ni kinywaji kizuri chenye Vitamini C kwa wingi, ambacho kinawafaa hasa wale ambao huwa hawapendi kupata kifungua kinywa wakati wa asubuhi. Uzito na virutubisho vilivyomo katika smoothie hii, vitakufanya ukae muda mrefu pasipo kula. Fuata hatua zifuatazo, ili ujifunze jinsi ya kutengeneza smoothie hii ya chungwa, embe na ndizi.

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, mtindi wa vanilla, juisi ya chungwa, ndizi, pamoja na embe, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.

    Step2

    Mimina smoothie kwenye chombo safi, kisha iweke kwenye friji ili ipate baridi, kabla ya kunywa.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.