Jarida la Mapishi

Smoothie ya apple na ndizi

Smoothie ya apple na ndizi | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    Dakika 5
  • Kupika
    -
  • Walaji
    2

Smoothie ya apple na ndizi, ni kinywaji rahisi kutengeneza na chenye virutubisho vingi ambacho hutengenezwa kwa kutumia matunda ya apple, ndizi, pamoja na mtindi. Kinywaji hiki chafaa kunywa wakati wa asubuhi au wakati wa mchana pamoja na kutafunio chochote kile ukipendacho. Fuata hatua zifuatazo, ili ujifunze jinsi ya kutengeneza smoothie hii ya apple na ndizi.

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, juisi ya chungwa, maziwa, apple, pamoja na ndizi, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.

    Step2

    Mimina smoothie kwenye chombo safi, kisha iweke kwenye friji ili ipate baridi, kabla ya kunywa.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.