Jarida la Mapishi

Smoothie ya ndizi na embe

Smoothie ya ndizi na embe | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    Dakika 5
  • Kupika
    -
  • Walaji
    2

Smoothie ya ndizi na embe, ni kinywaji kizuri, rahisi kutengeneza na chenye afya, ambacho hupendwa zaidi na watoto. Smoothie hii hutengenezwa kwa kutumia maembe, ndizi, pamoja na mtindi. Fuata hatua zifuatazo, ili ujifunze jinsi ya kutengeza smoothie hii ya ndizi na embe.

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, juisi ya chungwa na embe, maembe, mtindi, pamoja na ndizi, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.

    Step2

    Mimina smoothie kwenye chombo safi, kisha iweke kwenye friji ili ipate baridi, kabla ya kunywa.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.