Jarida la Mapishi

Smoothie ya nanasi na embe

Smoothie ya nanasi na embe | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    Dakika 10
  • Kupika
    -
  • Walaji
    4

Smoothie ya nanasi na embe, ni kinywaji cha kuburudisha ambacho hutengenezwa kwa kutumia nanasi, embe, mtindi wa vanilla, ndizi, pamoja na maziwa. Waweza kunywa kinywaji hiki kama kifungua kinywa wakati wa asubuhi au wakati wa mchana pamoja na kitafunio chochote kile ukipendacho. Fuata hatua zifuatazo, ili ujifunze jinsi ya kutengeneza smoothie hii ya nanasi na embe.

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, juisi ya nanasi, mtindi wa vanilla, maziwa, maembe, ndizi, pamoja na cream ya nazi, kisha saga hadi utakapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.

    Step2

    Mimina smoothie kwenye chombo safi, kisha iweke kwenye friji ili ipate baridi, kabla ya kunywa.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.