Jarida la Mapishi

Kaukau za tangawizi

Kaukau za tangawizi | Jarida la Mapishi
  • Maandalizi
    -
  • Kupika
    Dakika 10
  • Walaji
    1

Kaukau za tangawizi, ni viungo ambavyo hutengezwa kwa kwa kukaanga vipande vya tangawizi kwenye mafuta. Kaukau hizi hutumika kwenye chakula kama viungo vya kupendezesha au kuongeza ladha kwenye chakula. Fuata hatua zifuatazo, ili ujifunze jinsi ya kupika kaukau hizi za tangawizi.

Ingredients

    Directions

    Step1

    Chukua kikaango kikubwa chenye mafuta ya kupikia na ukiweke kwenye jiko lenye moto wa wastani, kisha acha mafuta yapate moto. Weka nusu ya tangawizi ulizo zikata kwenye hicho kikaango, kisha kaanga huku ukikoroga mara kwa mara kwa muda wa dakika 3 mpaka 5, au hadi utakapo ona zimebadilika rangi na kuwa na rangi ya kahawia. Ondoa tangawizi hizo kwenye kikaango na uziweke pembeni kwenye kontena lenye paper towel. Rudia hatua hiii kwa nusu ya tangawizi zilizobaki.

    Step2

    Nyunyizia chumvi juu ya hizo tangawizi, halafu changanya vizuri, kisha acha zipoe.

    Step3

    Weka kaukau hizo kwenye chombo safi chenye mfuniko, kisha hifadhi kwenye friji.

    Unaweza Pia Kusoma Hizi

    Leave a Review

    Your email address will not be published. Required fields are marked *


    The reCAPTCHA verification period has expired. Please reload the page.